Tuesday, May 26, 2015

Tips on Travelling with an infant and a toddler. Kusafiri na mtoto mdogo

Hello dear reader,

Its another beautiful week. I hope to you too.

So I love travelling and having a baby has made that a bit challenging but after few trips it became even more fun sharing the experience with my daughter. When she was a month old we went for her aunties' graduation and since then it has been a roller coaster.

Image result for traveling with an infant or a toddler
So let me share the tips. Keep in mind that when a baby is an infant and when they are toddlers the needs are different and also the baby's personality and their daily routine can make the whole experience different. So the tips are mostly in general the rest of the journey you will have to use mama's instincts to deal with them.

Image result for traveling with an infant or a toddler
1. There is no traveling light when there is a an infant or a toddler
One of the things I have learnt so far is that baby's come with a lot of surprises and you can't be too prepared. That's why over sized hand bags are your best friend. Whether it is just going to the clinic or traveling out of town remember to carry



    Image result for traveling with an infant or a toddler
  • An extra outfit for your baby, additional t shirt or trouser or dress or short have an extra one
  • Carry the baby's favorite toy
  • If she/he's using a pathfinder carry it along
  • A bottle of water
  • A bottle of milk. Even if you are breast feeding exclusively just have it as back up (You will thank me some day). If you have a long journey make sure to carry porridge or cerelac and/ a prepared food from homeImage result for traveling with an infant or a toddler
  • Baby wipes
  • 5-6 pieces of white cotton cloth like nap liners
  • Baby shawl
  • Additional sweater
  • About 2 bibs
  • Carry a lot of diapers
  • if its a long journey a bottle of hot water may come in handy
  • An empty plastic or paper bag (Its not healthy to throw dirty diapers out the window)
  • A pair of khanga
  • An extra blouse for you
  • A shawl for you
Image result for traveling with an infant or a toddler


2. When you are going out of town even if it is for a day remember to carry a first aid kit.
3.Do not travel alone
4. A day before a journey or a trip make sure to have all your baby's clothes are all prepared and put ready
5.If a trip will take more than a day remember to carry all your baby's toiletries, it is not health for a baby to share these items (soap, oil, tooth brush, tooth paste, comb etc)

6. Remember to check the weather of where you are going to know the type of cloth you need to carry for the baby
7. Don't forget there is you. Many women especially first time moms become too involved to the need of their children and forget to pack for themselves.
Image result for traveling with an infant or a toddler

Please visit the link below or Click Quixotic blog on the list of my favorite blogs and get the tips for traveling from my dear friend Aika. She travels a lot and yes she has the best tips for you

http://quixotic-lifestyle.blogspot.com/2015/03/packing-tips-corporate-edition.html

Happy travelling.

ATM

Thursday, May 21, 2015

Jinsi ya kumuogesha mtoto mchanga: How to give bath to a new born

Habari,

Naamini wiki hii ni njema kwako. Namshukuru Mungu kuwa ni njema kwangu pia. Siku ya pili baada ya kujifungua niliuliza lini nitaanza kumuogesha mtoto wangu. Mmmh, niliambiwa niache haraka. Lakini pia nakumbuka kuwa kuna wamama ambao wanakuwa waoga sana kuwaogesha watoto wanapokuwa wadogo sana, sio kosa ni hali ya kawaida. Nilipata tips kadhaa kutoka kwenye video katika mtandao wa Baby Center na nilipata confidence wakati ulipofika wa kumuogesha mtoto wangu.

Leo nitakushirikisha vitu vichache vya kufanya unapomuogesha mtoto, ila kabla ya hayo ni muhimu kukumbuka kuwa:
Image result for how to bathe a newborn for the first time

  • Mtoto hapaswi kuogeshwa ndani ya beseni kabla kitovu hakijakatika na kukauka kabisa
  • Si lazima mtoto chini ya mwaka mmoja (1) kuogeshwa kila siku, mara tatu kwa wiki inatosha.
  • Usitumie sabuni ya kunukia au zile za brand kubwa kama Baby Johnson mapema hii ni kuepuka allergies, tumia sabuni ya kufulia au "Mild soap"
  • Kutokana na kutozoea maji ni kawaida mtoto kulia wakati wa kuoga ila wengine wanakua hawana tatizo
Haya vidokezo hivi 7 vitakusaidia kupata ujuzi wa swala hili nyeti
  1. Kusanya mahitaji yote ya kutumia, taulo safi litandaze kitandani, nepi au diaper, mafuta kitana na nguo. Hakikisha chumba kina joto la kutosha ili mtoto asipate ubaridi (unaweza kuwasha taa dakika kama 15 kabla ya kumuogesha mtoto, jiko la mkaa wachache hutumia ila si salama sana. Waweza kuliweka ndani likiwa halina harufu na kabla hujamleta mtoto kuoga litoe ili mtoto asivute hewa ya mkaa)
  2. Weka maji kwenye karai, yasizidi kama inchi 3 hivi, yasiwe ya moto yawe ya uvuguvugu. Tumia kiwiko cha mkono kuangalia joto la maji. Unaweza kuweka nguo safi ya pamba kama taulo ndani ya karai ilikuzuia mtoto kuteleza unapomwogesha.
  3. Mlete mtoto eneo la kumuogeshea na mvue nguo zote ila kama ni muoga sana wa maji muachie nepi ili ajisikie salama
  4. Mwingize mtoto kwenye beseni taratibu kwa kuanza na miguu. mmiminie maji mara kwa mara ili asipate baridiImage result for how to bathe a newborn for the first time
  5. Muogeshe mtoto na mikono au kitambaa laini na usitumie sabuni nyingi sana maana ngozi itakauka sana. Osha kichwa kwanza halafu uso, macho na pua. Anzia mbele kuelekea mgongoni. Mwoshe sehemu za siri vizuri na usitumie sabuniImage result for how to bathe a newborn for the first time
  6. Msuuze mtoto , mnyanyue mtoto taratibu hakikisha umemshika vizuri maana anateleza. Mkono mmoja weka eneo la shingo ili apate support. Muweke kwenye lile taulo uliloliandaa awaliImage result for how to bathe a newborn for the first time
  7. Mkaushe mtoto kwa jinsi ya "ku-pat" kama vile unamkanda taratibu usimfute, usitumie nguvu, kama ngozi inatoka paka mafuta ya watoto, mafuta ya nazi ni mazuri sana. Baada ya hapo mvishe nguo, mkumbatie na ummpe busu kichwani. 

http://www.babycenter.com/2_how-to-give-your-newborn-a-bath_1486858.bc. Video hii ilikuwa msaada sana kwangu.

Happy parenting.

ATM

Thursday, May 14, 2015

Love, Pain and Death: A true sad story. part 2

Habari,

Naamini wote ni wazima. Sehemu ya pili na ya mwisho ya simulizi hii. Tafadhali jifunze na chukua hatua inapostahili.


Image result for sad story about love
"Mtoto wa pili alipofika miaka mitatu, alipata kazi, akaanza kufanya kazi na kupendeza kidogo...siku hiyo from no where mumewe akaenda kazini kwake akafanya fujo na kuwaonya wasimuajiri mkewe, akafukuzwa kazi.......

Lakini hakusema, tukawa hatujui....baadae manyanyaso yakawa makali ikabidi arudi nyumbani na wanawe, sasa baba mkubwa alipomuuliza alimwambia tu kua ndoa ngumu bila kufafanua, basi akaamriwa arudi kwa mumewe; 

Alikuaga mkimya sana, akarudi kwake.....kumbe miaka yote toka aolewe mumewe alikua na mazoea ya kumpiga bila huruma!

2014, Alibeba mimba tena na January mwaka huu alipata mtoto wa kiume(ameachwa na 4month mwezi wa tano haujaisha)  akiwa kajifungua mumewe hakumjali hata chembe, alimnyima hata pesa ya chakula.....mtoto akiwa na wiki mbili aliomba chakula kwa mumewe akapigwa kama kawaida......kumbe aliumia sana damu ikavia kwenye ubongo......akaparalyz 

Kuna msamaria alimwambia shangazi etu kua mwanenu anaumwa hoi na kafungiwa ndani.....ndio kwenda na kumkuta yu taabani kwa njaa na paralysis......na kichanga chake...

Akarudishwa nyumbani na kupelekwa muhimbili....baada ya kupata nafuu na kuweza kuongea ndio akahadithia mateso alokua akipewa na mumewe....baba mkubwa alilia sana na kumlaumu kwanini hakua muwazi toka mwanzo.....basi akiwa anauguzwa mumewe akiambiwa juu ya matibabu ya mkewe anasema hana hela......wakamuacha tu!

Alipopata nafuu akaomba kurudi rombo apumzike hadi afya irudi na ilikua zifanyike taratibu za kikanisa kuwatenganisha......bahati mbaya kumbe aliumia ndani ya tumbo pia.....so alipokuja rombo aliumwa tena tumbo na kuonekana kuna damu inavuja tumboni......akafariki "


Nawatakia siku njema.

Monday, May 11, 2015

Love, Pain and Death: A true sad story. Part 1

Habari wasomaji wangu,

Naamini wiki imekuwa njema na kina mama mlisherehekea siku yenu kwa furaha.

Nimepata hii hadithi mahali, nimeona nikushirikishe. Ni habari ya kweli kabisa na ni ya hapa hapa Tanzania.

Natamani ujifunze jambo hapa na umsaidie mwanamke mwingine anayepitia kipindi kama cha dada huyu.



"Huyo dadaangu aliolewa2009 akiwa mjamzito na mapema 2010 alipata mtoto wa kike. Mumewe hakufurahia kwasababu mke alizaa mtoto wa kike na hafanani na baba. Bahati nzuri alitoka uzazi na mimba nyingine, na 2011 alipata mtoto mwingine wa kike na hafanani na baba yaani watoto hawa ni copy ya mama yao. 

Jinsi mumewe alivyotaniwa na majirani kua watoto hawafanani nae alipata hasira zaidi sababu alitaka mtoto wa kiume sana.....basi kulingana na hali hiyo dadaangu aliachishwa kazi na baada ya mwezi mume akafukuza house girl kwahiyo dada akabaki mwenyewe na hivyo akawa anapata tabu ya majukumu nyumbani na watoto wake wadogo.

Ndugu wa upande wetu tukawa tunamsaidia maana mume alikua akiacha 2000, sasa DSM 2000 na watoto unaifanya nini? Mumewe kuona tunampa msaada akaamua kutafuta nyumba mbali huko Mbagala ndani, akamnyang'anya simu na akapiga stop ndugu wa mke kufika kwake na ilifikia hatua akamtukana shangazi yetu kua ni mchawi wa ndoa yake.

Tulimtafuta tukajua anapoishi, ila dada alikua tayari kuvumilia ndoa yake akijua watoto wakikua atatafuta kazi na kujimudu."

Image result for sad story about love

..........itaendelea.

Nakutakia wiki yenye baraka tele.

ATM


Tuesday, May 5, 2015

Welcome to the world: Princess Charlotte Elizabeth Diana

Good Morning lovely readers,

The princess

Ok, when royals get a baby the whole world knows and we share the happiness. Nitakuwa mchoyo nisipowapongeza Duke and Duchess of Cambridge kwa kupata their little princess.

Name trend ya kuita majina mengi ya mtoto kabla ya jina la baba naona inashika kasi.

Jambo ambalo limekuwa gumzo kwenye dunia ya wakina mama ni jinsi Duchess Kate alivyotokelezea amependeza baada ya kujifungua.
kate-m-baby-char

Fabulous after birth. Look smart one blogger mentioned that putting your self smart soon after birth can help you feel good after all the hard work.

Wiki njema kwako

ATM