Wednesday, December 14, 2016

Fashion Alert: How to dress your baby bump (Jinsi ya kuvaa wakati ukiwa mjamzito)

Welcome back,

Ni siku nyingi tangu nimepost jamani. Namshukuru Mungu mimi ni mzima na ninyi pia. Well tuko kwenye the best season of the year and well what a better time to talk fashion than now eeeh. Okey. So hii post nilitaka niiweke siku nyingi sana ila nikawa nimebarikiwa na kazi nyiingi ila naamini sijachelewa.

Hapa Tanzania watu wengi tunakuwa na tabia ya kuvaa vaa tu tukiwa wajawazito, mitandio inaongezeka, sijui kwanini tunapenda kuficha hizo baraka. Na wakati mwingine tunajichukia sana tukiwa wajawazito na ni kwasababu hatujui kuvaa mavazi ya kutupendeza na yenye heshima.

Naomba nitoe angalizo kwa posti hii. Kama haujisikii kubanwa basi nenda na option ambayo ni loose. Na kama kiatu kirefu hukiwezi basi we vaa tu flat. Ni muhimu kuinvest kwenye materinity dress nzuri maana wengi bado zoezi linaendelea na zinaweza kuwa handy. Ila pia nitapost jinsi unaweza kufanya matenity dress yako ikavaliwa vizuri tu baada ya kujifungua.

Basi for inspiration ya leo, nimemchagua mwanadada Anitha. Ni fashionista hapa Tanzania na akiwa mjamzito well, she doesn't disappoint. Asante Anitha kwa kuniruhusu kutumia picha zako. Be blessed and keep slaying

Unaweza kumfollow Anitha instagram kama anithascloset au utembelee blog yake. Click here kwenda kwenye blog yake.



To be continued......
Cooperate look



Working on a couple of posts for the blog on this fine thursday morning...thank you Mr.president for a public holiday... perfect weather for it...God bless Tanzania! 
#greenforgreen #anotherbumpshot #mothersinprotest #tbt