Friday, March 27, 2015

Pregnancy DOs and DON'Ts

Habari...

Image result for pregnancy dos
Naaminini wewe ni mzima kabisa. Leo ningependa kusema kuhusu kipindi cha muhimu kabisa katika maisha ya mwanamke. Kipindi cha ujauzito.

Watu wengi huwa tunadhani malezi ya mtoto yanaanza baada ya mtoto kuzaliwa ila si kweli, malezi ya mtoto yanaanza mtoto anapokuwa tumboni na hivyo ni muhimu kujua ni lipi la kufanya na lipi kutofanya na hapa nitaongelea wajibu wa mama na baba.


DO
  1. See your doctor regularly. Prenatal care can help keep you and your baby healthy and spot problems if they occur. 
  2. Continue taking folic acid throughout your pregnancy.  Getting enough folic acid lowers the risk of some birth defects. Taking a vitamin with folic acid will help you to be sure you are getting enough. Image result for pregnancy dos
  3.  Eat a variety of healthy foods. Include fruits, vegetables, whole grains, calcium rich foods, lean meats (Chiken and fish), and a variety of cooked seafood. Image result for pregnancy dos
  4.  Get all essential nutrients, including iron, every day. Getting enough iron prevents anemia, which is linked to preterm birth and low-birth weight babies. Ask your doctor about taking a daily prenatal vitamin or iron supplement. 
  5. Drink extra fluids, especially water.Image result for pregnancy dos


To be continued......

ATM

No comments: